Baada ya jana kumpeleka kwa mkopo Tyler Blackett kwenda Celtic, Jonny Evans kwenda West Brom, leo hii imethibitishwa Adnan Januzaj amepelekwa kwa mkopo katika klabu ya Dortmund ya Ujerumani.
Wakati huo huo Manchester United leo imefanyia vipimo vya afya Mshambuliaji Anthony Martial kutoka klabu ya As Monaco ya Ufaransa.
CHICHARITO AUZWA
DAVID DE GEA AUZWA MADRID

David de Gea is set to join Real Madrid from Manchester United
Manchester United and Real
Madrid have agreed a deal for David de Gea, according to Sky Sports
Spanish football expert Guillem Balague.
The former Atletico Madrid goalkeeper is set to return to
the Spanish capital for a fee of £29m with Keylor Navas also agreeing to
move the other way and join United.
Post a Comment